NDOA YA GODFREY SINYANGWE NA ESTHER KILUMA WA JIJINI MWANZA YAFANA

Bwana Godfrey Sinyangwe na Bibi Esther Kiluma wakivishana pete ya ndoa
Upendo wa dhati
Bwana Godfrey Sinyangwe (kushoto) na Bibi Esther Kiluma, wakifurahia ndoa yao
Wanapendana sana
Bwana Godfrey Sinyangwe na Bibi Esther Kiluma
Ndoa na iheshimiwe na watu wote
Bwana Godfrey Sinyangwe na Bibi Esther Kiluma wakiwa ufukweni
Ndoa yetu na idumu milele
Baada ya ndoa pamoja na zoezi la kupiga picha katika ufukwe wa ziwa Victoria, shughuli usiku huu inafanyika Ukumbi wa Bugando Club.

0 comments:

Post a Comment