RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AZINDUA FILAMU YA UTALII NSHABA ONTWALE NYAKIJOGA 'NIPELEKE NYAKIJOGA'

Mgeni rasmi Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamini William Mkapa, akitoa neno kwa Wageni waalikwa kwenye Jioni ya Bwanjai, kabla ya kuzindua rasmi filamu ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' Uzinduzi wa filamu hiyo ya utalii ulifanyika, katika Ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi wa Jioni ya Bwanjai Rais Mstaafu Benjamini William Mkapa, akikabidhiwa filamu ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' na Mrs Dorina Kilama tayari kwa ajili ya Uzinduzi huo, anayeshuhudia katikati ni Profesa Wenceslaus Kilama, uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam. 
Mgeni rasmi Rais Mstaafu Benjamini William Mkapa, akikabidhi CD yenye filamu hiyo ' Nipeleke Nyakijoga '  ndugu Salum Salum ambae ni mwakilishi wa DSTV, ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa kampuni hiyo ambayo ilikuwa miongoni mwa wadhamini wa Usiku wa Bwanjai, Uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waalikwa katika Uzinduzi wa filamu hiyo ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' Uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Kikundi cha Ngoma kutoka Kantare, Bwanjai kikitoa Burudani maridhawa wakati wa Uzinduzi wa filamu ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' Uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
kwa hisani ya www.habari360.com

MANGULA ASHIRIKI KUFYATUA MATOFALI KUUNGA MKONO VIJANA WANAOSOMA NA WALIOHITIMU VYUO VIKUU 20 WALIOWEKA KAMBI KUFYATUA MATOFALI KWA AJILI YA UJENZI WA MABWENI NA NYUMBA ZA WALIMU SHUE YA SEKONDARI NASIBUGANI, KISIJU WILAYANI MKURANGA MKOA WA PWANI LEO

 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akikarbishwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani Omari Kubwa, baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo, leo, kwa ajili ya kwenda kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika shule ya Sekondari ya Nasabugani, iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani. Mabweni ni kwa ajili ya Wanafunzi wa Kidato cha tano na cha sita, ambao kwa sasa wanalala chini katika chumba cha maabara ya shule hiyo. Kushoto ni Katibu Msaidizi wa CCM mkoa wa Pwani Abihudi Shilla
  Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisubiri kuvishwa skafu na Vijana wa CCM, alipowasili Ofisi ya CCM Wilaya ya Mkuranga kwa ajili ya kwenda kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika shule ya Sekondari ya Nasabugani, iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani. 
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akivishwa skafu na kijana wa CCM, alipowasili Ofisi ya CCM Wilaya ya Mkuranga kwa ajili ya kwenda kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika shule ya Sekondari ya Nasabugani, iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akiwa  kushoto kulia, kwenda katika ofisi ya CCM, kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, alipowasili Ofisi ya CCM Wilaya ya Mkuranga kwa ajili ya kwenda kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika shule ya Sekondari ya Nasabugani, iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisalimia baadhi ya viongozi wa CCM kabla ya kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, alipowasili Ofisi ya CCM Wilaya ya Mkuranga kwa ajili ya kwenda kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika shule ya Sekondari ya Nasabugani, iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani

Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, alipowasili Ofisi ya CCM Wilaya ya Mkuranga kwa ajili ya kwenda kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika shule ya Sekondari ya Nasabugani, iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, alipowasili Ofisi ya CCM Wilaya ya Mkuranga kwa ajili ya kwenda kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika shule ya Sekondari ya Nasabugani, iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani. Kulia ni Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Philberto Sanga na Mwenyekiti wa CCM wilaya hiyo, Omar Kubwa.
 Katibu Msaidizi wa CCM mkoa wa Pwani Mary Nchimbi akijadili jambo na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Mkuranga Rashid Zungo, wakati wakisubiri kumskiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Kisarawe 
 Katibu Msaidizi wa CCm mkoa wa Pwani, Abiudi Shilla akimkaribisha kuzngumza, Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula

 Katibu wa CCM, Wilaya ya Mkuranga Khadija Kusaga akitambulisha baadhi ya viongozi 
 Mkuu wa wilaya ya Mkuranga, Filbarto  Sanga akitambulisha baadhi ya viongozi wa upande wake ikiwemo kamati ya Ulinzi na Usalamaya Wilaya hiyo
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mkuranga, Omari Kubwa akimkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Philip Magula kuzungumza na viongozi. Kushoto ni Katibu Msaidizi wa CCm mkoa wa Pwani Abiud Shilla
 Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula akizungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Mkuranga. Kulia ni Omari Kubwa
 Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula akizungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Mkuranga. Kulia ni Omari Kubwa


SHULENI NASIBUGANI
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philp Mangula akisalimiana na Mkuu wa shule ya Sekondari Nasibugani, Hillary Bwagidi, alipowasili, shuleni hapo  kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika hiyo iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philp Mangula akisalimiana, alipowasili, shule ya Sekondari Nasibugani  kuwaunga mkono vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika hiyo iliyopo Kisiju, Wilayani humo mkoa wa Pwani
 Makamu Mwenyekiti wa CCM, PhilipMangula akiwa katika Ofisi ya Shule hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Pwani, Msinshehe Mlawa
 Mwenyekiti wa Kambi iliyowekwa na vijana 53 wanaosoma na waliohitimu Vyuo Vikuu 20, walioweka kambi ya kufyatua matofali 45,000 kwa ajli ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu, katika ya Nasibugani, Kisiju, Wilayani Kisarawe mkoa wa Pwani, Mwita Nyarykururu akimpatia maelezo Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula alipokagua chumba wanacholala vijana haoa
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philip Mangula akitoka kukagua chumba wanamolala vijana hao
 Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, Philberto Sanga akimkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara PhilipMangula kuona wanapolala wanafunzi wa kidato cha tano na cha sia katika shule ya Nasabagani


NDANI WAAMOLALA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA CHA SITA











KUZUNGUMZA NA WAAKAMBI, WANAFYNZI NA WAZAZI NASABAGANI













Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philp Mangula akizungumzana Vijana walioweka kambi ya kufyatua matofali, wanafunzi na wazazi katika shule ya Nasabagani, baada ya kushiriki ufyatuaji matofali kwa ajili ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu katika shule hiyo leo

NENO LA SHURANI




PICHA YA PAMOJA






 KUAGANA



Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, PhilipMangula akiagana na Viongozi wa CCM wilaya la Mkuranga na mkoa wa Pwani, baada ya ziara yake ya siku moja kuhamasisha na kuunga mkono ufyatuajimatofali unaofanywa na vijana waliohitimu na wanaosoma katikavyuo hikuu 20 vya ndani na nje ya tanzania, kwa ajili ya ujenzi wa mabweni na nyumba za walimu katika shule ya Sekondari Nasabagani, Mkuranga mkoani Pwani, leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO