Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Baraka Konisaga akiingia na mkewe ukumbi kwenye hafla ya kumpongeza kwa kuhitimu Shahada ya Uzamili ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii,ya Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania (OUT) juzi. Sherehe hiyo ililifanyika jana katika ukumbi wa Clasic Motel, Kurasini
Konisaga na mkewe wakiwa wa 'Wazee wao' baada ya kuwasili ukumbini
Wageni wakiwa wamesimama kumlaki Konisaga ukumbini
Waalikwa wakiwa ukumbini
Waalikwa
Waalikwa
Keki maalum iliyoandaliwa na Mama Konisaga kwa ajili ya Konisaga
Mwenyeji akiwakaribisha wageni ukumbini
Konisaga akjiteta jambo na MC, Msoud Masoud
Mama Margareth Konisaga akikaribisha wageni kwenye sherehe hiyo
wageni ukumbini
Viajana wa Konisaga walioandaa sherehe hiyo wakizungumza machache
Mzee akionyoosha mikonbio baada ya kutambulishwa
Huyu pia akifurahi baada ya kutambulishwa
Na sisi pia,
Dada wa mke wa Kobisaga akisimama baada ya kutambulishwa
Utambulisho ukiendelea
Konisaga akiwatambulisha wasomi wenzake, aliohitimu nao shahada ya uzamili, OUT kituo cha Mwanza Adeodata Peter (kulia) ambaye ni Ofisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Mwalimu Leticia Patrick ambaye ni nwalimu wa somo la Uchumi shule ya sekondaro Bwiru na Kushoto ni Mkurugenzi wa OUT kituo cha Mwanza, Bernard Kapaya.
Konisaga akiwatambulisha wanafamilia yake ambao ni watoto wake, mkwewe na mkewe.
Konbisaga akimtambulisha dereva wake
Chapegne zikifubguliwa
Konisaga akipewa kinywaji
Mama konisaga pia
Ikipigwa cheeers
Naam cheeers
Baba na Mama Konisaga wakigonganisha glasi za vinywaji
kisha wakanywa kwa afya zao
Keki ya shughuli
Maka Konny akikata keki
Akimlisha keki mumewe
Naye Koni akimlisha mkewe
Halafu watu wakaselebuka ile mbaya
Konbisaga akiongoza kucheza kwaito
Mwimbaji wa Live Band akiunguruma jukwaani na wimbo wa 'Kitambaa cheupa'
Vitambaa vyeupe vikipeperushwa
Vitambaa vyeupe hewani kumuonyesha upendo Konisaga
Sasa time ya Menyu
Ikawa kujisevia
Kila mmoja anachokula
Baba na mama Konisaga wakiwa mezani
wageni wakipata mlo
Konisaga na mkewe wakiwa wa 'Wazee wao' baada ya kuwasili ukumbini
Wageni wakiwa wamesimama kumlaki Konisaga ukumbini
Waalikwa wakiwa ukumbini
Waalikwa
Waalikwa
Waalikwa
Konisaga na mkewe wakiwa ukumbiniKeki maalum iliyoandaliwa na Mama Konisaga kwa ajili ya Konisaga
Mwenyeji akiwakaribisha wageni ukumbini
Konisaga akjiteta jambo na MC, Msoud Masoud
Mama Margareth Konisaga akikaribisha wageni kwenye sherehe hiyo
wageni ukumbini
Viajana wa Konisaga walioandaa sherehe hiyo wakizungumza machache
Mzee akionyoosha mikonbio baada ya kutambulishwa
Huyu pia akifurahi baada ya kutambulishwa
Na sisi pia,
Dada wa mke wa Kobisaga akisimama baada ya kutambulishwa
Utambulisho ukiendelea
Konisaga akiwatambulisha wasomi wenzake, aliohitimu nao shahada ya uzamili, OUT kituo cha Mwanza Adeodata Peter (kulia) ambaye ni Ofisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Mwalimu Leticia Patrick ambaye ni nwalimu wa somo la Uchumi shule ya sekondaro Bwiru na Kushoto ni Mkurugenzi wa OUT kituo cha Mwanza, Bernard Kapaya.
Konisaga akiwatambulisha wanafamilia yake ambao ni watoto wake, mkwewe na mkewe.
Konbisaga akimtambulisha dereva wake
Chapegne zikifubguliwa
Konisaga akipewa kinywaji
Mama konisaga pia
Ikipigwa cheeers
Naam cheeers
Baba na Mama Konisaga wakigonganisha glasi za vinywaji
kisha wakanywa kwa afya zao
Keki ya shughuli
Maka Konny akikata keki
Akimlisha keki mumewe
Naye Koni akimlisha mkewe
Halafu watu wakaselebuka ile mbaya
Konbisaga akiongoza kucheza kwaito
Mwimbaji wa Live Band akiunguruma jukwaani na wimbo wa 'Kitambaa cheupa'
Vitambaa vyeupe vikipeperushwa
Vitambaa vyeupe hewani kumuonyesha upendo Konisaga
Sasa time ya Menyu
Ikawa kujisevia
Kila mmoja anachokula
Baba na mama Konisaga wakiwa mezani
wageni wakipata mlo