KONISAGA AFANYIWA SHEREHE NA WANAWE KUMPONGEZA KWA KUPATA SHAHADA YA PILI CHUO KIKUU HURIA

 Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Baraka Konisaga akiingia na mkewe ukumbi kwenye hafla ya kumpongeza kwa kuhitimu Shahada ya Uzamili ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii,ya Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania (OUT) juzi. Sherehe hiyo ililifanyika jana katika ukumbi wa Clasic Motel, Kurasini
 Konisaga na mkewe wakiwa wa 'Wazee wao' baada ya kuwasili ukumbini
 Wageni wakiwa wamesimama kumlaki Konisaga ukumbini
 Waalikwa wakiwa ukumbini
 Waalikwa
 Waalikwa
Waalikwa
 Konisaga na mkewe wakiwa ukumbini
 Keki maalum iliyoandaliwa na Mama Konisaga kwa ajili ya Konisaga
 Mwenyeji akiwakaribisha wageni ukumbini
 Konisaga akjiteta jambo na MC, Msoud Masoud
 Mama Margareth Konisaga akikaribisha wageni kwenye sherehe hiyo
 wageni ukumbini
  Viajana wa Konisaga walioandaa sherehe hiyo wakizungumza machache
 Mzee akionyoosha mikonbio baada ya kutambulishwa
 Huyu pia akifurahi baada ya kutambulishwa
 Na sisi pia,
 Dada wa mke wa Kobisaga akisimama baada ya kutambulishwa
 Utambulisho ukiendelea
 Konisaga akiwatambulisha wasomi wenzake, aliohitimu nao shahada ya uzamili, OUT kituo cha Mwanza Adeodata Peter (kulia) ambaye ni  Ofisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Mwalimu Leticia Patrick ambaye ni nwalimu wa somo la  Uchumi shule ya sekondaro Bwiru na Kushoto ni Mkurugenzi wa OUT kituo cha Mwanza, Bernard Kapaya.
 Konisaga akiwatambulisha wanafamilia yake ambao ni watoto wake, mkwewe na mkewe.
 Konbisaga akimtambulisha dereva wake
 Chapegne zikifubguliwa
 Konisaga akipewa kinywaji
 Mama konisaga pia
 Ikipigwa cheeers
 Naam cheeers
 Baba na Mama Konisaga wakigonganisha glasi za vinywaji
 kisha wakanywa kwa afya zao
 Keki ya shughuli
 Maka Konny akikata keki
 Akimlisha keki mumewe
 Naye Koni akimlisha mkewe
 Halafu watu wakaselebuka ile mbaya
 Konbisaga akiongoza kucheza kwaito
 Mwimbaji wa Live Band akiunguruma jukwaani na wimbo wa 'Kitambaa cheupa'
 Vitambaa vyeupe vikipeperushwa
 Vitambaa vyeupe hewani kumuonyesha upendo Konisaga
 Sasa time ya Menyu
 Ikawa kujisevia
 Kila mmoja anachokula
 Baba na mama Konisaga wakiwa mezani
wageni wakipata mlo

MAHAFALI YA 25, CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA, MAKADA WA CCM PIA WAPATA NONDOZZ

 Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Dk. Asha-Rose Migiro, akimpongeza Kada wa CCM, Asha Abdallah Juma, baada ya kumtunuku shahada ya pili ya Biashara ya Chuo hicho, katika mahafali ya 25, yaliyofanyika leo, Makao Makuu ya OUT, Bungo, Kibaha mkoa wa Pwani. Kushoto ni Makamnu Mkuu  wa Chuo hicho, Profesa Tolly Mbwette. Asha ambaye sasa ni Mjumbe wa NEC CCM, amewahi kuwa Wazirikatika serikali ya Mapinduzi Zanzibar na pia Katibu wa NEC, Oganaizesheni.
MKUU wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma katika Idara ya Itikadi na Uenezi CCM, Makao Makuu, Daniel Chongolo, akipongezana na Mjumbe wa NEC ya CCM, Asha Abdallah Juma baada ya wote kutuniwa shahada zao katika mahafali ya 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), yaliyofanyika jana, Oktoba 27, Bungo, Kibaha mkoa wa Pwani.  Chongolo ametunukiwa shahada ya kwanza ya Mawasiliano ya Umma na Asha shahada ya Pili ya Biashara. Katikati ni Kada wa CCM, Rachel Kyala ambaye pia ametunukiwa shahada ya Mawasiliano ya umma.
 Mama Asha akipongezwa na mmoja wa ndugu zake wa karibu baada ya kutunukiwa shahada hiyo
 Kisga Ndugu yake huyo akapozi naye picha ya kumbukumbu
 Huyu pia ambaye ni ndugu wa karibu akapiga naye pozi la picha
Asha akiwa katika picha ya pamoja na ndugu zake waliofika kwenye mahafali hayo kumponbgeza
 Asha akipongezana na mhitimu mwenyenzake, Amina Mzee Ibrahim kutoka Shirila la Bima Zanzibar ambaye amepata shahada ya MBA
Mama Asha, akipozi picha ya kumbukumbu na mhitimu mwenzake Haider Mwinyimvua
============================
CHOBGOLO
 Chonbgolo (wapili kulia) akiweka sawa kofia yake maalum, baada ya yeye na wahitimu wa shahada ya mawasiliano na umma kutunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali hayo
 Hongera Mwanangu: Chongolo akipongezwa na mama yake baada ya kutunikwa shahada yake
Mama akamvalisha taji kwa furaha
 Hongera Mume wangu: Mkewe pia akampingeza
 Kisha akapozi naye picha ya kumbukumbu
 Huyu kaka ambaye naye ni ndugu wa karibu wa Chongolo akatoa pongezi zake kwa furaha kubwa
Kisha Chongolo akapiga na ndugu zake hao picha ya kumbukumbu
===========
 HAPA BILA SHA MAMBO YAMENOGA: Inaelekea ndivyo Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania , Dk. Asha-Rose Migiro ndivyo alivyokuwa akiteta na Makamu wake, Tolly Mbwette wakati wa mahafali hayo.
 Abdallah Majura baada ya kupata shahada yake
 DC wa Nyamagana ambaye pia ni Kada wa CCM, Baraka Konisaga akisubiri kutunukiwa shahada yake
 Devota Jobu na Lucy Makoye wakionyesha nyuso za furaha wakati wakisubiri kutunukiwa shahada ya mawasiliano ya umma
 Mwansihi wa habari ambaye anakaribia kuwa mkongwe, Tamali Vullu akiwa na rafiki yake ambaye wametunukiwa wote shahada ya mawasilino ya umma
Hurbert Matau kutoka Vdacom Tanzania (kushoto) akiwa na wenzake kwenye mahafali hayo. Imetayarishwa na theNkoromo Blog