Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani 
ya Nchi Meja Jenerali Projest Rwegasira (katikati) akifurahia jambo 
wakati Gwaride lilipokua likiendelea mara alipofika Chuoni hapo kufunga 
mafunzo ya wahitimu 156  wa Kozi ya Uongozi Daraja la Pili, Chuo cha 
Zimamoto na Uokoaji katika Kijiji cha  Cogo kilichopo Wilaya ya Jimbo la
 Handeni Mkoa wa Tanga, kulia ni Mrakibu Msaidizi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Athumani  Rwahila na kushoto ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mmoja wa wahitimu hao pichani Abdallah Ulutu akiwa tayari ametunukiwa cheo chake 
Wahitimu hao wakiwa katika Gwaride 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Projest Rwegasira (wa pili kushoto) akikagua Gwaride
Gwaride likipita mbele ya Mgeni Rasmi
Mgeni
 Rami katika picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu na viongozi 
mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Handeni Tanga, Husna Msangi  wapili
 kushoto na kuanzia kilia ni Mrakibu Msaidizi Jeshi la Zimamoto na 
Uokoaji, Athumani  Rwahila, Sajenti Damian Muheya ambapo ni Afisa habari
 wa Jeshi hilo na anae fatia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye
0 comments:
Post a Comment