RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO MAALUM CHA NEC MJINI DODOMA LEO

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika ukumbi wa Sekretarieti katika Jengo la White House la Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma kuongoza kikao maalum cha Hamlashauri Kuu ya Taifa (NEC). Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa neno la Utangulizi kabla ya Rais Kikwete kufungua kikao hicho na kukiongoza
Rais Jakaya Kikwete, Rais Dk. Shein na Kinana wakiwa wamesimama kuongoza wajumbe ambao pia walisimama kuwakumbuka viongozi waliofariki hivi karibuni 
Wajumbe Makamu wa Rais Dk. Bilal na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiwa ukumbini
Wajumbe wakiwa ukumbini
Wajumbe ukumbini
Naibu Katibu Mkuu wa CCM na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akiteta jambo na mjumbe mwenzake
 Wajumbe ukumbini
Wajumbe ukumbini
Wajumbe wakiwa ukumbini
Wajumbe  na Makatibu wa Sekretarieti wakiwa ukumbini. Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa UVCCM, Sixtus Mapunda, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk Ash-Rose Migiro, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Mama Zakia Meghji na katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi Taifa

Taswira ya wajumbe ukumbini wakati JK akiongoza kikao
 Wajumbe wa kikao hicho Martine Shigela na Bernard Membe wakigongeshana viganja kufuarhia jambo
Katibu Mkuu wa UVCCM mstaafu, Shigela na Katibu Mkuu wa UVCCM wa sasa Mapunda wakichati ukumbini
Mwigulu Nchemba na Nape wakiteta jambo

Wajumbe ukumbini
Wajumbe ukumbini

Wajumbe Spika wa Bunge Anna Makida na Spika wa Barza na wawakilishi Mzee Kificho wakiwa ukumbini
Ma-Ankali wakiwa ukumbi wa NEC wakati kikao hicho kinafunguliwa na JK

Wajumabe Shamsivuai Nahodha na Ally Karume wakiteta jambo nje ya ukumbi; Imetayarishwa na theNkoromo Blog

0 comments:

Post a Comment