MHANDISI MALUMA MGENI RASMI MAHAFALI YA TISA, 2017 YA CHUO KIKUU CHA ST. JOSEPH

Mgani Rasmi, Mhandisi Askofu wa Kanisa la Katholiki Jimbo la Njombe  Rev. Alfred Maluma (wa nne kulia) akiwa na viongozi mbalimbali wakiimba wimbo wa Taifa uliokuwa ukiendelea kabla ya kuanza Mahafali hayo  (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 
 Mhandisi, Safiel Chambua
 Mhandisi, Safiel Chambua    pichani akiwa amepozi na mama yake mzazi
  Mhandisi, Safiel Chambua


Mhandisi, Safiel Chambua akiwa na marafiki zake kabla ya kuanza Mahafali hayo yaliyofanyika leo Dar es Salaam April 25, 2017


Bendi ya Matarumbeta ikitumbuiza Wimbo wa Taifa wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo kikuu cha ST, Joseph Dar es Salaam leo.

Mhandisi, Safiel Chambua (wa pili kulia) akivalia kofia na mwenzake wakati walipokuwa wakila kiapo
Mama mzazi wa Mhandisi, Safiel Chambua, Philipina Chambua (kulia) akimpongeza mwanaye baada ya Mahafali hayo kumalizika Dar es Salaam leo na Tafrija inatarajiwa kufanyika jioni  hii Katika Ukumbi wa Wilivina Hall iyopo eneo la Chuo cha ST. Joseph Magari Saba, Mbezi. anaye shuhudia katikati ni Baba wa Mhandisi, Wilfred Mchome ambaye ni msaafu wa Jeshi la  Polisi 
 Mstaafu wa Jeshi la Polisi,  Wilfred Mchome (wa pili kulia) akimpongeza Mhandisi,   Safiel Chambua  baada ya Mahafali hayo kumalizika na kulia ni mama wa Mhandisi huyo,  Philipina Chambua
Mhandisi,   Safiel Chambua katika picha ya pamoja na wazazi wake mara baada ya kumalizika Mahafali hayo
Mhandisi,   Safiel Chambua akitoka Ukumbini na wazazi wake baada ya kumalizika Mahafali hayo yaliyofanyika katika Ukumbi uliyopo jingo la  Ubungo Plaza Dar es Salaam 

Mhandisi,   Safiel Chambua katika pozi na wazazi wake baada ya kufika nyumbani kwao eneo la Njeteni Mji Mpya, Kata ya Msigani  Mtaa wa Yusufu
Mhandisi,   Safiel Chambua katika pozi na wazazi  na wadogo zake





0 comments:

Post a Comment