DAS ILALA, EDWARD MPOGOLO AZINDUA KITABU CHA BAJETI, AKATA KEKI KUNOGESHA MIAKA 16 YA TAASISI YA VIJANA YA TYVA

 Ofisa Tawala wa Ilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akipokewa na Mkuu wa Idara ya Ushawishi na Utetezi wa Taasisi ya TYVA Makwita Abdul, alipowasili British Council jijini Dar es Salaam, kuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 16 ya Taasisi hiyo, yaliyofanyika leo
  Ofisa Tawala wa Ilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akisindikizwa na Mkuu wa Idara ya Ushawishi na Utetezi wa Taasisi ya TYVA Makwita Abdul, alipowasili British Council jijini Dar es Salaam, kuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 16 ya Taasisi hiyo, yaliyofanyika leo
  Ofisa Tawala wa Ilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akisalimana na Ofisa Vijana mkoa wa Dar es Salaam, Masalida Njashi, alipowasili British Council jijini Dar es Salaam, kuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 16 ya Taasisi hiyo, yaliyofanyika leo
  Ofisa Tawala wa Ilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akisalimana na Mwenyekiti wa TYVA Nuria Mshare alipowasili British Council jijini Dar es Salaam, kuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 16 ya Taasisi hiyo, yaliyofanyika leo.
  Ofisa Tawala wa Ilaya ya Ilala, Edward Mpogoloakiingia ukumbini alipowasili British Council jijini Dar es Salaam, kuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 16 ya Taasisi hiyo, yaliyofanyika leo
 Waalikwa na Vijana wa TYVA wakisimama kumlaki Mpogolo
 Waalikwa na Vijana wa TYVA wakisimama kumlaki Mpogolo
 Mpogolo akiwasili meza kuu kuanza shughuli
 Mpogolo akiwa tayari ukumbini
 Mkuu wa Idara ya Ushawishi na Utetezi wa TYVA Makwita Abdul akitoa maneno ya utangulizi kwenye hafla hiyo
 Mwenyekiti wa TYVA Nuria Mshare akitoa hotuba yake
  Mwenyekiti wa TYVA Nuria Mshare akitoa hotuba yake
 Waalikwa na Vijana wa TYVA wakiwa ukumbini
 Mpogolo akitayarisha dondoo za hotuba yake
 Mkuu wa Kitengo cha Ushawishi na Utetezi wa TYVA Makwita Abdul akishauriana jambo na Mwenyekiti wa TYVA Nuria Mshare wakati wa hafla hiyo
 Katibu Mtendaji Mtendaji wa TYVA Sadam akitoa maelezo kuhusu miaka 16 ya Taasisi hiyo wakati wa hafla hiyo
 Ofisa Tawala wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo akishauriana jambo na Mwenyekiti wa TYVA Nuria Mshare wakati wa hafla hiyo
 Mmoja wa wanachama wa zamani wa TYVA a Costantine Deus akitoa ushuhuda alivyonufaika na TYVA wakati wa hafla hiyo
 Baadhi ya washiriki wakiendelea kuingia ukumbini
 Sekretarieti ya TYVA ikiwa kazini wakati wa hafla hiyo
 Vijana wa TYVA wakiwa ukumbini
 Ukumbi ukiwa umefurika waalikwa na Vijana wa TYVA wakati wa hafla hiyo
 Ofisa Tawala wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo akisoma mpangokazi au bajeti ya TYVA wakati wa hafla hiyo
 Mwanachama wa TYVA akitoa ushuhuda anavyonufaika na taasisi hiyo, wakati wa hafla hiyo
 Ofisa Tawala Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, Edward Mpogolo akizindua mpangokazi au bajeti ya Taasisi ya Vijana ya TYVA, wakati wa maaldhimisho ya miaka 16 ya Taasisi hiyo yaliyofanyika leo katika ukumbi wa British Council Dar es Salaa.. Kushoto ni Mwenyekiti wa TYVA Nuria Mshale
 Ofisa Tawala Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, Edward Mpogolo akizuznguza wakati wa maaldhimisho ya miaka 16 ya Taasisi hiyo yaliyofanyika leo katika ukumbi wa British Council Dar es Salaa.
 Waakiwa ukumbini. baaye ilifuatia keki kwa ajili ya konogesha maadhimisho hayo ya miaka 16 ya TYVA




















 Ofisa Tawala wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo akiagana na Ofisa Vijana mkoa wa Dar es Salaam, Masalinda Njashi baada ya hafla hiyo
 Mpogolo akitoa nasaha za mwisho kwa viongozi wa TYVA kabla ya kuondoka mwishoni mwa hafla hiyo. Picha zote na Bashir Nkoromo

0 comments:

Post a Comment