MWEYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETE ALA CHAKULA CHA JIONI NA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VILIVYOKUWA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimsalimia Katibu Mkuu wa Chama cha ANC cha Afrika Kusini, Gwede Mantash, kabla ya chakula cha jioni alichowaandalia Makatibu wakuu wa vyama vilivyokuwa vya ukombozi kusini mwa Afrika, jana, Oktoba 9, 2013, Ikulu jijini Dar es Salaam, Makatibu wakuu hao walikwenda Ikulu baada ya mkutano wao wa sita, uliofanyika hapa nchini. Wapili kushoto ni Julio Paulo, Katibu Mkuu wa Chama cha MPLA cha Angola na kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Chama cha Kikomunisti cha China, Ai Ping na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu wa vyama vilivyokuwa vya ukombozi kusini mwa Afrika, kabla ya kula nao chakula cha jioni, Ikulu jijini Dar es Salaam, Oktoba 9, 2013. Kutoka kushoto na vyama vyao vikiwa kwenye mabano makatibu wakuu hao ni, Nangolo Mbumba (SWAPO) cha Namibia, Gwede Mantash (ANC) cha Afrika Kusini, Didy Mutasa (ZANU-PF) Zimbabwe, na kutoka kulia ni Abdulrahman Kinana (CCM) Tanzania, Philipe Paunde (FRELIMO) Msumbiji na Julio Paulo (MPLA) Angola.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akisisitizia jambo, Makatibu Wakuu wa vyama vilivyokuwa vya Ukombozi Kusini Mwa Afrika, alipokutaja nao kwa ajili ya chakula cha jioni, alichowaandalia, jana, Oktoba 9, 2013, Ikulu jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto na vyama vyao vikiwa kwenye mabano makatibu wakuu hao ni Gwede Mantash (ANC) cha Afrika Kusini, Didy Mutasa (ZANU-PF) Zimbabwe, na kutoka kulia ni Abdulrahman Kinana (CCM) Tanzania, Philipe Paunde (FRELIMO) Msumbiji na Julio Paulo (MPLA) Angola.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na ujumbe wa Makatibu wakuu wa vyama vilivyokuwa vya ukombozi kusini mwa Afrika, wakati wa chakula cha jioni alichowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam, jana, Oktoba 9, 2013.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na ujumbe wa Makatibu wakuu wa vyama vilivyokuwa vya ukombozi kusini mwa Afrika, wakati wa chakula cha jioni alichowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam, jana, Oktoba 9, 2013.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha, CCM, Zakiah Meghji, wakati wa chakula cha jioni alichowaandalia makatibu wakuu wa vyama vilivyokuwa vya ukombozi kusini mwa Afrika, jana, Oktoba 9, 2013, Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akimtambulisha Katibu Mkuu wa Chama Cha MPLA cha Angola, Julio Paulo, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula, wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam, jana, Oktoba 9, 2013.
 Katibu Mkuu wa chama tawala cha Afrika Kusini ANC, Gwede Mantash (kushoto) akimpa zawadi, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, mwishoni mwa mkutano wa sita wa Makatibu wakuu wa vyama vilivyokuwa vya ukombozi kusini mwa Afrika, jana, Oktoba 9, 2013, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipewa zawadi Katibu Mkuu wa chama cha SWAPO cha Naimibia Nangolo Mbumba, mwishoni mwa mkutano wa sita wa vyama vilivyokuwa vya ukombozi kusini mwa Afrika, jana, Oktoba 9, 2013, jijini Dar es Salaam.
CCM Blog

Posted in

Spread the love

KITCHEN PARTY YA HELENA NDILE ILIVYOFANA

 Mama Mzazi wa Helena Ndile akizungumza machache kwa mwanae ambayo yatamsaidia kwenye maisha ya ndoa.
 Msanii wa kufanya vichekesho MC Pilipili akichekesha wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za Kitchen za Bi. Helena Ndile.
 Wageni waliohudhuria sherehe hiyo ya Kitchen Party wakiwa hawana mbavu kutokana na vichekesho vya MC Pilipili.
 Mama na Mwana wakilisakata rhumba 
 Helena Ndile akikabidhi keki kwa mawifi zake.
 Kinamama wa kikundi cha Upendo kilichopo Lumumba ofisi ndogo za CCM wakipeleka zawadi zao kwa mdogo wao Helena Ndile.
 Helena Ndile akiwa kwenye picha ya pamoja na mawifi zake
Helena Ndile akipata maelezo ya zawadi mbali kutoka kwa dada yake Edna Ndile,sherehe hii ya kitchen party imefanyika  tarehe 6 Oktoba2013 kwenye ukumbi wa Lulu Social Hall.
CCM Blog

Posted in

Spread the love

VICENT MNYANYIKA NA TATU ABDI WAANZA MAISHA MAPYA, WAFUNGA NDOA

Bwana Harusi Vicent Mnyanyika na Mkewe Tatu Abdi wakipiga picha ya ukumbusho mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Maria ya Kimara, jijini Dar es Salaam juzi. Bwana Harusi Vicent Mnyanyika na Mkewe Tatu Abdi wakipiga picha ya ukumbusho mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Maria ya Kimara, jijini Dar es Salaam juzi.
Paroko wa parokia ya Mtakatifu Maria Kimara akiwaongoza maharusi kuweka maagano ya ndoa takatifu Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Maria Kimara akiwaongoza maharusi kuweka maagano ya ndoa yao takatifu Kanisani"
Bibi harusi Tatu Abdi akiweka saini kwenye cheti cha ndoa akiwa anashuhudiwa na Mmewe Vicent Mnyanyika 
Bibi harusi Tatu Abdi akiweka saini kwenye cheti cha ndoa huku mumewe Vicent Mnyanyika akishuhudia pembeni.
MC PC Makame Akiwaongoza Maharusi katika tendo la keki.Harusi sherehe ilifanyika katika ukumbi wa Grand Hall Piccolo Beach Hotel Tar 31 August 2013 MC PC Makame akiwaongoza maharusi katika tendo la keki ukumbini katika hafla kabambe iliyofanyika katika Ukumbi wa Grand Hall Piccolo Beach Hotel Agosti 31, 2013.
DSC_0020  
Bi. Tatu Abdi katika picha na mpambe wake.
DSC_0333  
 Maharusi wakikabidhiwa vyeti vyao kanisani. DSC_0335  
Maharusi wakivionesha vyeti vya ndoa kwa mashuhuda mara baada ya kufunga ndoa.
Maharusi na wapambe  
Picha na wapambe wa maharusi.
Maharusi na wazazi  
Picha na wazazi wa maharusi
Bwana Harusi Vicent Mnyanyika na Bibi Harusi Tatu Abdi wakitoka ukumbini
Maharusi wakiwapungia mikono wageni waalikwa kwa ishara ya kuwaaga mara baada ya kumalizika kwa mnuso huo wa nguvu uliofanyika katika Ukumbi wa Grand Hall Piccolo Beach Hotel.
CCM Blog

Posted in

Spread the love

HARUSI YA MAX NA PENDO

Harusi hii ya aina yake,  imefungwa Jumaosi, Septemba 28, 2018, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Padre Pio wa Pietrelo, Kigango cha Tabata, Dar es Salaam, na baadaye mnuso mkali ukafanyika katika Hoteli ya Serena (zamani kabisa ikiitwa Sheraton Hotel' katikati ya jiji la Dar es Salaam, Tanzania. Bwana harusi, Max ambaye ni mwenyeji wa Ruvuma ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kizalendo ya Kotes Tanzania Ltd, huku Bibi Harusi Mrs Pendo Komba akiwa ni mwenyeji wa katikati ya Tanzania, mkoa wa Dodoma. Picha tulipiga nyingi sana! lakini kwa kuwakilisha hapa zipo picha 200, Karibu.
Bwana Max Komba
Mrs Pendo Max Komba
Pendo akati akiwa bado humo katika shera
Baadhi ya wageni kutoka Ruvuma wakigaragara chini kama ishara ya kumheshimu Bwana Komba, walipowasili nyumbani kwa Bwana harusi, Tabata Dar es Salaam, tayari kushiriki suguli nzima ya harusi iyo
Komba akiwa mbele ya nyumba yake, muda mfupi kabla ya kwenda Kanisani
wageni wakipata Lunch, nyumbani kwa Komba
Mapishi yakiendelea kabla ya watu kwenda harusini
Mmoja wa wapambe wa karibu akimsauri jambo Komba kabla ya kwenda kufunga ndoa
Baadhi ya waalikwa wakiwa katika basi maalum kwenda Kanisani
Na awa pia
Komba akitoka rasmi nyumbani kwenda Kanisani kufunga ndoa
Komba na mpambe wake wakiwasili kanisani, gari hili alilotumia siyo la kukodi, ni mali yake.
Pandre akampokea Komba na mpambe wake
Shamrashamra zikiendelea kanisani kupokea maarusi
Bi Pendo ambaye sasa ni Mrs Komba akiwasili Kanisani
Penfdo akiingia kanisani
Komba na mkewe wakiwa mbele ya Padre
Hapa wakiwa tayari kufungishwa mdoa
Na hapa pia
Wakisubiri kwa hamu kufumgishwa ndoa
Padre akiwa mbele yao kuwaleza mambo muhimu yahusuyo ndoa...
Baadhi ya watoto wanafamilia, ndugu na jamaa wakiwa kanisani
Kwaya ya kanisa ikisherehesha kwa nyimbo za mapambio
Baadhi ya wazee wa karibu wa bwana harusi
waalikwa wakiwa kanisani
Maharusi na wapambe wao wakiwa kanisani
Kisha padre akaja mbele yao
'Shikaneni mikono' Padre akasema, nao wakafanya hivyo
Na Padre akaweka mkoni wake juu ya mikono yao kuwafungisha ndoa
Ikawa kama ivi
Wanavalishana pete
Naam pete ikaingia kidoleni mwa Pendo
Ikakaa vilivyo...
Komba akamfunua shera mkewe
Nape Pendo akamvalisha Pete
Pete ikaingia barabara kidoleni mwa Bwana Komba
Komba akamshukuru mkewe kwa kitendo hicho
Naam, akampenda sana...
Ndoa tayari...
Wakarudi pahala pao na kuendelea na ibada
Ibada ikashika kasi
Utoaji sadaka ukafuatia
Komba akafanya kama mkewe naye akatoa sadaka
Wakatulia
Sasa ni mke na mume.... wakaonekana wanatafakari jambo
Komba alikishwa sakramenti takatifu
Pendo akilishwa sakramenti
Mpambe wa Pendo akilishwa sakramenti
Ukawadia wakati wa kusaini hati za ndoa, Komba akawa wa kwanza
Mpambe wake naye akasaini pia kushuhudia
Pendo naya akasaini
Mpambe waka pia akasaini
haya chukua jati yako...
Na wewe Pendo chukua ati yako..
Wote wakionyesha kadamnasi hati zao za ndoa baada ya kukabidiwa na padre
Hari zinasomeka hivyoo
Padre akawapongeza
Hongera sana Pendo, akasema
Pongezi zikaanza kuminika kanisani
Kama hivi
Na hivi
Na hivi
Na hoviiiiii
Furaa hadi kwa watoto walioudhiria kama huyu
Na huyu
Ngoma zikarindima nje ya Kanisa baada ya ndoa kufungwa
Ikawa ni shamrashamra wakati bwana na Bibi Komba wakitoka Kanisani
naam apa wapo nje ya Kanisa
Komba akamchukua mkewe taratiiibu
Akawa naye mbele za watu
Kisha wakaingia katika gari lao la kifahari
Msafara ukaanza kwenda kwenye Mnuso
Kona ya kuingia barabara Kuu ya Mandela
Wakaingia kwanza kituo Cha Biashara ya Benjamin William Mkapa pale pale Tabata
Watu wakashangilia
Maharushi wakawa wanatembea hapa na pale kujiliwaza kwa raha zao kwenye maeneo ya kituo hicho cha uwekezaji cha Ben Mkapa, Kisha wakapozi poicha mbalimbali...... kwa ajili ya kumbukumbu













 




Ile kufika tu, Hoteli ya Serena wakapiga picha hii, kisha picha zinazoendelea ni ndani ya ukumbi wa hoteli hiyo, kulishana champegne, keki, utoaji zawadi na kusakata muziki vikawa ndiyo mwao humo ukumbini, sasa endelea......
















  




 













































 
















 


























CCM Blog

Posted in

Spread the love