MAMASALMA AMPOKEA MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI NA BAADAYE AHUDHURIA DHIFA YA KITAIFA ILIYOANDALIWA NA RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpokea Malkia Maxima wa Uholanzi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere tarehe 11.12.2013.
 Malkia Maxima wa Uholanzi akipokea ua kutoka kwa kijana mara  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kuanza ziara ya siku 3 nchini Tanzania.
 Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
 Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
 Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkaribisha Ikulu, Malkia Maxima wa Uholanzi ili kuhudhuria dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa na Rais Dkt. Jakaya Kikwete tarehe 11.12.2013.
 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu, Malkia Maxima wa Uholanzi kwa ajili ya mazungumzo na dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni huyo tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima wa Uholanzi akigonganisha glass/cheers na Rais Dkt. Jakaya Kikwete na Mama Salma wakati wa dhifa ya kitaifa ambayo walimwandalia mgeni huyo huko Ikulu tarehe 11.12.2013. PICHA NA JOHN  LUKUWI

0 comments:

Post a Comment