HAPPY BIRTHDAY YA MAMAA WA MITINDO ASIA KHAMSIN IDAROUS YAFANA KWENYE KIOTA CHA NYUMBANI LOUNGE
Mbunifu Mkongwe wa Mavazi nchini Mamaa wa Mitindo Asia Khamsin Idarous, akizungumza machache kabla ya kukata cake kwenye mnuso wake wa kumbukumbu ya kuzaliwa iliyofanyika kwenye kiota cha Nyumbani Lounge.
Mbunifu Mkongwe wa Mavazi nchini Mamaa wa Mitindo Asia Khamsin Idarous jana alisheherekea siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na marafiki katika mnuso wa nguvu uliofanyika kwenye kiota cha Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam. Zifuatazo ni picha mbalimbali za matukio katika mnuso huo wa nguvu.(Picha zote na MOblog)
Aunty Asia Idarous akikata ji-cake lake la kutimiza miaka 54 ya kuzaliwa kwake kwenye mnuso wa nguvu uliofanyika Nyumbani Lounge.
Kata Cake tule......asiyeimba hali...Happy Birthday dear Asia.....Happy Birthday to youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu...!!! We Love Aunty Long Live and Stay Blessed.....Mwaaaaah...!!!
Mkuu wa kaya ya Nyumbani Lounge Captain Gardner G. Habash alipewa heshima ya kuwa mtu wa kwanza kulishwa cake na Birthday Girl Bi. Asia Khamsin Idarous.
Mama mwenye nyumba Lady Jay Dee akishow love na Aunty Asia Khamsin Idarous.
Picha juu na chini ni ndugu, jamaa na marafiki wa Aunty Asia Idarous wakilishwa cake.
Paul Mashauri alikuwa miongoni mwa wadau waliojumuika na Mkongwe wa ubunifu wa mavazi Aunty Asia Khamsin Idarous kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.
Mdau Moddy Bawazir naye aliwakilisha.
Mbunifu wa Mavazi Martin Kadinda a.k.a Mzee wa Single Button naye alikuwepo.
Aunty Asia Khamsin Idarous akiserebuka na wadau ndani ya kiota cha Nyumbani Lounge.
Old is Gold na mimi nimo....Hapana chezea Mamaa wa mitindo.
Mbunifu wa Mavazi Mustafa Hassanali na wadau wengine wakipata Ukodak na Aunty Asia Khamsin Idarous.
Aunty Asia Idarous na Ukodak.
Aunty Asia Idarous akishow love na binti yake ndani ya nyumbani Lounge.
Thank you for coming......love you all....!!
MAMASALMA AMPOKEA MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI NA BAADAYE AHUDHURIA DHIFA YA KITAIFA ILIYOANDALIWA NA RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpokea Malkia Maxima wa Uholanzi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima wa Uholanzi akipokea ua kutoka kwa kijana mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kuanza ziara ya siku 3 nchini Tanzania.
Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkaribisha Ikulu, Malkia Maxima wa Uholanzi ili kuhudhuria dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa na Rais Dkt. Jakaya Kikwete tarehe 11.12.2013.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu, Malkia Maxima wa Uholanzi kwa ajili ya mazungumzo na dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni huyo tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima wa Uholanzi akigonganisha glass/cheers na Rais Dkt. Jakaya Kikwete na Mama Salma wakati wa dhifa ya kitaifa ambayo walimwandalia mgeni huyo huko Ikulu tarehe 11.12.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI
Malkia Maxima wa Uholanzi akipokea ua kutoka kwa kijana mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kuanza ziara ya siku 3 nchini Tanzania.
Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima akiongozana na mwenyeji wake Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakiangalia ngoma mbalimbali za utamaduni zilizokuwa zikicheza wakati wa mapokezi ya mgeni huyo Uwanja wa ndege tarehe 11.12.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkaribisha Ikulu, Malkia Maxima wa Uholanzi ili kuhudhuria dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa na Rais Dkt. Jakaya Kikwete tarehe 11.12.2013.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu, Malkia Maxima wa Uholanzi kwa ajili ya mazungumzo na dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni huyo tarehe 11.12.2013.
Malkia Maxima wa Uholanzi akigonganisha glass/cheers na Rais Dkt. Jakaya Kikwete na Mama Salma wakati wa dhifa ya kitaifa ambayo walimwandalia mgeni huyo huko Ikulu tarehe 11.12.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI
MAELFU WAFURIKA KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANZANIA BARA


















Picha na Aron Msigwa – MAELEZO