Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda ,  Mkewe Tunu  (wapili kulia),Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka 
(kulia), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Mary Nagu  (kulia) kwa Waziri Mkuu na Mkuuwa Mkoa wa
Kilimanjaro, Leonidas Gama 
wakitazama  vitu mbalimbali vya
mazoezi katika maabara ya Baiolojia 
katika maadhimisho ya Shule ya Sekondari ya Wasicha ya Weruweru
yaliyofanyika shuleni hapo. Septemba  21,
1013
 Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda akizindua Bwalo la Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru ya
Moshi  Vijijini ikiwa na sehemu ya
maadhimisho ya miaka 50 ya shule hiyo Septemba 21, 2013
 Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akipanda  mti kwenye
viwanja vya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru ya Moshi Vijijini  akiwa katika maadhimisho ya miaka 50 ya shule
hiyo Septemba  21, 2013.  Wapili kushoto ni mkewe Tunu na Watatu
kushoto ni Waziri wa  Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka na Wapili kulia ni Naibu
Waziri  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa
 Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akipanda  mti kwenye
viwanja vya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru ya Moshi Vijijini  akiwa katika maadhimisho ya miaka 50 ya shule
hiyo Septemba  21, 2013.  Wapili kushoto ni mkewe Tunu na Watatu
kushoto ni Waziri wa  Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka na Wapili kulia ni Naibu
Waziri  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa
 Baadhi ya Wanawake waliosoma katika 
Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru ya  Moshi Vijijini  wakiimba wimbo wa Shule hiyo katika
maadhimisho ya miaka 50  ya shule hiyo   Septemba 21, 2013
 Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na
baadhi ya  wanawake  mashuhuri 
waliosoma katika   Shule ya
Sekondari ya Wasichana  ya Weruweru ya
Moshi Vijijini katika maadhimisho ya 
miaka 50 ya Shule hiyo. Kutoka kulia ni Binti ya Waziri Mkuu, Fortunata
Pinda,, Dr. Aha Rose Migiro, Dr. Mary Nagu ambaye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu, Uwezeshaji na Uwekezaji, 
na   Balozi Mwanaidi Maajar 
 Mbunge wa Moshi
Vijijini , Dkt. Cyril Chami  akitamka
mchango wa  shilingi milioni mbili za
kuchangia ukarabati wa majengo ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru
yaMoshi Vijijini  akiwa katika
maadhimisho ya miaka 50 ya shule hiyo. Septemba 21, 2013
 Baadhi ya waliohuhudhuria matika maadhimisho ya
miaka 50 ya Shule ya Sekondari ya Wasichana 
ya Weruweru yaMoshi Vijijini 
wakiselebuka kwenye viwanja vya Shule hiyo Septemba  21, 2013. 
 Baadhi ya waliohuhudhuria matika maadhimisho ya
miaka 50 ya Shule ya Sekondari ya Wasichana 
ya Weruweru ya Moshi Vijijini 
wakiselebuka kwenye viwanja vya Shule hiyo Septemba  21, 2013. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)
Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda na Mkewe tunu (kushoto) wakisalimiana na Mkuu wa zamani wa Shule
ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru ya Moshi Vijijini, Mary Kham katika
Maadhimisho  ya miaka 50 ya shule hiyo
Septemba 21, 2013. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
MAADHIMISHO A MIKA 50 YA SEKONDARI YAWERUWERU
About CCM Blog
                            This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
                          
0 comments:
Post a Comment