ZIARA YA WASSIRA WILAYANI MAGU MKOANI MWANZA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wasira akiwa na Mkuu wa wilaya ya Magu, Jacqueline Liana alipokagua maendeleo ya  katika shule moja akiwa katika ziara ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza tarahe 24. 7. 2013

 Waziri na Mkuu wa wilaya, wakishuhudia mmoja wa wananfunzi wa shule hiyo alipokuwa akiandika ubaoni

 Waziri akizungumza na wanafunzi katika shule hiyo
 Waziri Wasira akiwapongeza wananfunzi wa shule hiyo
 Waziri Wasira akikalia moja ya viti vilivyotengenezwa na mafundi wajasiriamali  wa viti hivyo katika wilaya hiyo ya Magu.
 Kinamama wakicheza ngoma kunogesha ziara hiyo ya waziri Wasira
 Waziri Wasira akizungumza na wananchi katika ukumbi wa shule wilayani Magu. Kulia ni Mkuu wa wilaya ya Magu, Jacqueline.
 Waziri Wasira akiwaslimia kinamama
 Waziri Wasira akikagua moja ya miradi ya ujenzi katika wilaya hiyo
 Waziri Wasira akishauliana jambo na viongozi wa wilaya hiyo
 Kikundi cha ngoma cha vijana wa wilaya ya Magu wakionyesha umahiri wao wa kucheza ngom,a wakati wa ziara hiyo.
Kijana akipambana na nyoka aina ya Chatu aliyekuwa akicheza naye ngoma wakati wa ziara hiyo. PICHA KWA HISANI YA MKUU WA WILAYA YA MAGU, JACQUELIN LIANA

0 comments:

Post a Comment