MANENO MBEGU NA QUEEN SENDIGA WAMEREMETA

 Bwana Harusi Maneno Mbegu akivishwa pete na mwandani wake, Queen Sendiga walipokuwa wanafunga ndoa hivi karibuni katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
                     Maneno Mbegu akiapa mbele Ofisa Tawala  Wilaya ya Kinondoni
                                    Queen akila kiapo
                                Mbegu akitia saini
 Queen akitia saini
Wakitoka baada ya kufunga pingu za maisha
Du! hivi kweli tumeoana?
                                                Maharusi wakiwa na sura za bashasha
Huyu ndiye Mbegu
Baba akimpongeza binti yake kwa kuolewa
Mbegu na mkewe Queen akiw na katika picha ya pamoja na wakwe zake.
Maharusi wakiwa katika picha ya pamoja na ndugu zao pamoja na marafiki

Quenn anavyomeremeta
Queen akiwa na mamake mzazi katikati na mdogo wake
Queen akiwa na watoto wapambe

0 comments:

Post a Comment