ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN NCHINI INDIA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Waziri wa Afya na  Ustawi wa Jamii wa India Shri Ghulam Nabi Azad, alipowasili katika hoteli ya Oberoi Mjini New Delhi alipofikia Rais na Ujumbe wake wakiwa katika ziara ya kiserikali Nchini India
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii wa India Shri Ghulam Nabi Azad, alipowasili katika hoteli ya Oberoi Mjini New Delhi alipofikia Rais na Ujumbe wake wakiwa katika ziara ya kiserikali Nchini India
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na ujumbe wake wakizungumza na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii wa India  Shri Ghulam Nabi Azad,na Viongozi aliofuatana nao walipofika katika hoteli ya Oberoi Mjini New Delhi alipofikia Rais na Ujumbe wake wakiwa katika ziara ya kiserikali Nchini India
  Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Nchini India wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao jana katika ukumbi wa jengo la Hotel ya Ashok Mjini New Delhi,akiwa katika ziara nchini India ya siku tisa katika kukuza uhusiano na ushirikiano katika nyanja mbali mbali za kimaendeleo
 Viongozi wa Ujumbe wa Rais na Vingozi wa Watanzania Nchini India  pamoja na wanafunzi wanaosoma  kupata fani mbali mbali nchini India,wakimasikiliza  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akitoa nasaha zake wakati walipokutana jana katika ukumbi wa Hotel ya Ashok Mjini Nwe Delhi India
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  alipokuwa akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Watanzania Wanafunzi wanaosoma katika vyuo mbali mbali nchini India, jana katika ukumbi wa Hotel the Ashok mjini New Delhi,akiwa katika ziara ya kukuza uhusiano na mashirikiano na nchi hiyo,(kulia wa kwanza) Waziri wa Uwezeshaji,Vijana wanawake na Watoto,Bi Zainab Omar Mohamed,Mama Mwanamwema Shein,na (kushoto) Balozi wa Tanzania nchini India John W.H.Kijazi
 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mahadhi Juma Maalim, Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee na Balozi wa Tanzania nchini India John W.H.Kijazi, ni miongoni mwa ujumbe wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika ziara nchini India, pichani wakimsikiliza Rais wakati alipozungumza na watanzania katika ukumbi wa The Ashok Hotel Mjini New Delhi jana
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa picha ya pamoja na Watanzania wanaosoma nchini India baada ya mazungumzo ya  pamoja nao jana katika ukumbi wa The Ashok Hotel Mjini New Delhi akiwa katika ziara ya Kiserikali.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa picha ya pamoja na Watoto baada ya mazungumzo ya  pamoja na Watanzania  jana katika ukumbi wa The Ashok Hotel Mjini New Delhi India akiwa katika ziara ya Kiserikali.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,(kulia) wakiwa picha ya pamoja na Makamo wa Rais wa India Mohammed Ansari na Mkewe Salma Ansari,walipoalikwa chakula cha usiku jana katika ukumbi wa Hayderabad House, Mjini New Delhi akiwa katika ziara ya Kiserikali.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,  wakisalimiana na Viongozi wa Serikali ya India wakati wa hafla ya chakula cha usiku jana kilichoandaliwa na  Makamo wa Rais wa India Mohammed Ansari na Mkewe Salma Ansari,katika ukumbi wa Hayderabad House, Mjini New Delhi akiwa katika ziara ya Kiserikali.
Makamo wa Rais wa India Mohammed Ansari na Mkewe Salma Ansari, wakisalimiana na ujumbe wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipowatambulisha jana wakati wa chakula cha usiku katika ukumbi wa Hayderabad House, Mjini New Delhi  katika ziara ya Kiserikali Nchini India. (Picha zote na Ramadhan Othman wa Ikulu).
CCM Blog

Posted in

Spread the love

SHEREHE ZA KILELE CHA MIAKA 37 YA CCM ZILIVYOIFUNIKA MBEYA

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiwasili katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya kuwaongoza wana-CCM katika kilele cha maadhimisho ya miaka 37 ya CCM leo
 
 Rais Jakaya Kikwete akiwapungia wananchi waliofurika katika Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya alipoingia Uwanjani huku akiwa na Mwenyekiji wake, Katibu Mkuu wa CCM, Abdurlahman Kinana
 Hii ndiyo CCM, Rais Jakaya Kikwete akisema, huku akionyesha alama ya CCM ya jembe na nyundo ambayo aliichukua kwa mmoja wa mashabiki wa CCM walioingia nayo Uwanjani
Vijana wa CCM wakicheza gwaride la ukakamavu mbele ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete wakati a sherehe hizo.
 Vijana wa CCM wakicheza halaiki
 Vijana wa Umri wa miaka 37, wakirusha njia hewani kila mmoja, kuashiria CCM ilivyofanikiwa kujenga amanai na utulivu Tanzania katika uhai wake wa miaka 37 hadi sasa, wakati wa sherehe hizo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Kikwete kuhutubia hadhara
 Rais Jakaya Kikwete akihutubia
 Wasanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya waliojiunga na CCM, leo wakishangilia baada ya kutambulishwa na Katibu wa NEC, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye kwenye sherehe hizo
Manii wa filam, JB akizungumza baada ya yeye na wenzake kukaribishwa na Nape
 Wasanii wa Filam na muziki wa kizazi kipya wakiselebuka baada ya kutangazwa kuwa watapewa kadi za CCM na Mwenyekiti wa CCM, Rais jakaya Kikwete kwenye sherehe hizo
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiungana na wasanii waliokuwa wakicheza ngoma ya kinyakyusa wakati wa sherehe hizo
 Nape na Katibu Mkuu wa UVCCM, Sixtus Mapunda wakicheza muziki wa hamasa uliokuwa unapigwa na TOT wakati wa sherehe hizo.
 Khahija Kopa akituzwa na mashabiki alipotumbuiza katika sherehe hiyo akiwa na TOT
Kinana akisoma toleo maalum la gazeti la Mzalendo wakati akiwa kwenye sherehe hizo
 Ofisa wa Uhuru Publications Limited, akiwagawia magazeti la Mzalendo wasanii
 Wasanii wakisoma Mzalendo
 Wasanii wakisoma gazeti la Mzalendo
Banda la UHURU/Mzalendo katika viwanja vya Sokoine mjini Mbeya
CCM Blog

Posted in

Spread the love

MATEMBEZI YA MSHIKAMANO YA MIAKA 37 YA CCM YAFANA JIJINI MBEYA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akibadilishana mawazo na Naibu wake (Bara) Mwigulu Nchemba wakati wakimsubiri Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kuwasili eneola Soweto kuanza matembezi ya mshikamano kuadhimisha miaka 37 ya CCM, leo mjini Mbeya
 Katibu wa NEC, Ogamaizesheni Mohamed Seif Khatib, Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Zakiah Megjj na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Abdallah Bulembo wakibadilishana mawazo wakati wakimsubiri Jk eneo la Soweto kuanza matembezi hayo
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula, Mwigulu na Katibu Mkuu wa UVCCM, Sixtus Mapunda wakibadilishana mawazo eneo la Soweto kabla ya matembezi kuanza
 Mkazi wa Mtaa wa Soweto jijini Mbeya akijimwayamwaya wakati akisubiriwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete kuanza matemebezi hayo
 Wana-CCM wakiselebuka wakati wakimsubiri Mweneyekiti wa CCM, Rais Kikwete kuwasili eneo la Soweto
 Mweneyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili eneo la Soweto kuendesha matembezi hayo
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitangaza kuwasili kwa Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete eneo la Soweto
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akipatiwa maelezo na Nape namna matembezi yatakavyoanza
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwapungiamikono wananchi kabla ya matembezi kuanza
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akiwapungia mkono wananchi matembezi yalipoanza eneo la Soweto. Wengine kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Godfrey Zambi
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza matembezi hayo huku akiwa na watoto ambao aliwateua kutembea nao baada ya kuwaona eneo la Soweto
 "Haya Simameni Hapa tutembee wote" Rais Jakaya Kikwete akiwaambia watoto hao kabla ya kuanza matembezi
 "Vipi Mmechoka", Rais Kikwete akiwauliza watoto, lakini wakasema hawajachoka ambapo walitembe hadi mwisho umbali wa kilometa tano
 Rais Kikwete akiongoza matembezi hayo
 Wakazi wa Mbeya wakiwa katika shamrashamra za matembezi hayo
 Wafanyabiashara katika soko lililopo karibu na Uwanja wa Sokoine,wakimpungia mkono Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete wakati akipita eneo hilo wakati wa matembezi hayo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasli kwenye Bustani ya Uwanja wa Sokoine yalikokomea matembezi hayo
 Wana-CCM na wananchi kwa jumla wakimlaki Rais Kikwete kwenye Bustani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihamasisha wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete alipowasili kwenye Bustani ya Uwanja wa Sokoine mwishoni mwa matembezi hayo
 Mbunge wa Kyela, Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akisalimia wananchi mwishoni mwa matembezi hayo
 Mbunge wa Rungwe Mashariki,Profesa Mark Mwandosya akikaribishwa na Nape kusalimia wananchi mwishoni mwa matembezi hayo, ambapo alisema afya yale imeimarika hasa baada ya kuonyesha uwezo wa kushiriki matembezi hayo ya kilometa tano mwanzo hadi mwisho
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwa amepumzika na viongozi wenzake baada ya kuwasili kwenye bustani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya baada ya matembezi hayo
 Katibu Mkuu wa UVCCM, Sixtus Mapunda akisalimiawananchi baada ya matembezi hayo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimia mwishoni mwa matembezi hayo
 Mangula akisalimia mwishoni mwa matembezi hayo
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akihitimisha matembezi kwa kuwasilimia wananchi baada ya matembezi hayo. Picha zote na theNkoromo Blog
CCM Blog

Posted in

Spread the love