KATIBU MKUU WA CCM, ABDULRAHMAN KINANA AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CNDD-FDD

 Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kihifadhio cha vitu mbalimbali cha jadi ya Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka. 
  Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kihifadhio cha vitu mbalimbali cha jadi ya Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mnadhimu Mkuu wa CNDD-FDD, Gerase Ndabirabe na Wapili ni Kaimu Balozi wa Burundi hapa ncini, Prefere Ndayishimiye na Kushoto ni Balozi David Kapya na  Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka. 
 Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kihifadhio cha vitu mbalimbali cha jadi ya Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mnadhimu Mkuu wa CNDD-FDD, Gerase Ndabirabe na Wapili ni Kaimu Balozi wa Burundi hapa ncini, Prefere Ndayishimiye na Kushoto ni Balozi David Kapya, Katibu wa Habari na Mawasiliano CNDD-FDD Nancy Mutoni,  na  Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka. 
  Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ngoma ya Burundi inayotambulika Kimataifa,Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mnadhimu Mkuu wa CNDD-FDD, Gerase Ndabirabe na Wapili ni Kaimu Balozi wa Burundi hapa ncini, Prefere Ndayishimiye na Kushoto ni Balozi David Kapya, Katibu wa Habari na Mawasiliano CNDD-FDD Nancy Mutoni,  na  Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka.

 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akimshukuru Katibu wa Habari na Mawasiliano wa CNDD-FDD, Nancy Mutoni baada ya mazungumzo ya Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu wa CNDD-FDD
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake Katibu Mkuu wa CNDD-FDD, Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimtoa katika jengo, kwenda kupanda gari Kaibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo yao katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam leo 
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiagana na Kaibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo yao katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam leo 
 Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka akiagana na Mnadhimu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD, Gerase Ndabirabe baada ya mazungumzo ya Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu wa CNDD-FDD leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam. Kulia ni Balozi David Kapya
 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiagana na Kaimu Balozi wa Tanzania hapa nchini Prefere Ndayishimiye baada ya Mazungumzo baina ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) na Katibu Mkuu wa CNDD-FDD, leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam.
Gari lililombeba Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, likiondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salam, baada ya mazungumzobaina ya Katibu Mkuu huyo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (Kulia). PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO.
CCM Blog

Posted in

Spread the love

KELVIN JACKSON KATIKA GRADUATION YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE SHULE YA TUSIIME, DAR ES SALAAM

Kijana Kelvin Jackson Kashasha akitafakari kwa furaha, wakati wa Mahafali ya kumaliza kidato cha Nne katika shule ya Tusiime,Kampasi ya Tabata, Dar es Salaam, jana, Septemba 17, 2016. Katika Sherehe hiyo ya aina yake, Wazazi wake akiwemo Baba na Mama Jackson Alex Kashasha, theNkoromo Blog, inamuombea mafanikio zaidi katika jitihada zake za masomo na pia kuwapongeza wazazi wake kwa juhudi kubwa wanazofanya kuhakikisha mtoto wao huyu anafika mbali katika masomo.
------------------------------------------------------
ZIFUATAZO NI TASWIRA MBALIMBALI KATIKA PICHA  WAKATI WA MAHAFALI HAYO
hapaaaa


Kelvin akiburudika na chakula mwishoni mwa sherehe za Graduation hiyo ambayo ilifanyika jana Septemba 17, 2016, katika Viwanja vya /Shule ya Tusiime, Tabata, Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na mamia ya watu wakiwemo wazazi, wanafunzi wafanyakazi na walimu wa shule hiyo..
 PICHA ZOTE NA BASHIR NKORMO
Maoni niandikie nkoromo@gmail.com, Simu 0672 22 32 69
CCM Blog

Posted in

Spread the love